- Utangulizi
Familia nyingi
zina changamoto ya mfumo wa uzazi. Leo hii tunaenda kuzungumzia mfumo mzima wa
uzazi wa mwanaume hususani: "Upungufu wa nguvu za kiume". Takwimu
za afya zinaonesha kati ya wanaume 10 miongoni mwao 7 wana tatizo la upungufu
wa nguvu za kiume. Tatizo hili linazidi kuongezeka kwa kasi kubwa, na linawakumba sana watu wazima kuanzia umri wa miaka 35 – 75+.
Kuna aina 3 za
upungufu wa nguvu za kiume:
- Shahawa
(sperms) hazina uwezo wa kutunga mimba.
- Ukosefu wa hamu
ya tendo la ndoa. Ikitokea umepata hamu hata kidogo shahawa zinawahi kutoka. Wengine
wanapata hamu ya tendo la ndoa lakini hawatoi shahawa.
- Uume kutosimama
(mashoga)
- Chanzo cha matatizo ya upungufu wa
nguvu za kiume
Upungufu wa nguvu za kiume sio ugonjwa, ila ni kama
indicator inayoonesha kwamba kuna baadhi ya viungo ndani ya mwili wa binadamu
ambavyo vinahusika na suala zima la nguvu za kiume havifanyi kazi vizuri.
Baadhi ya hivyo viungo vinavyo husika na nguvu za kiume ni: Moyo, Ini, Figo, Ubongo,
Mishipa, Tezi dume, Misuli, .. … … n.k. Kunapo kuwa na hitilafu kwenye viungo
hivi ndiyo vinapelekea moja kwa moja mtu kupata tatizo la upungufu wa nguvu za
kiume.
Hivi ni baadhi ya vitu vinavyo sababisha viungo tulivyo
taja hapo juu kutofanya kazi vizuri na baadae kusababisha matatizo mbali mbali
ikiwemo vifo.
Kuwa makini na vitu vifuatavyo:
Kuwa makini na vitu vifuatavyo:
- Uvutaji wa
sigara, na utumiaji wa dawa za kulevya
- Pombe (aina
yeyote).
- Masturbation
(Kujichua, au kupiga punyeto)
- Kula vyakula
venye kuharibu mfumo wetu wa mmeng’enyo wa chakula (Digestive System). Huu
mfumo ukiharibika unasababisha damu kutosafirishwa vizuri mwilini.
- Uzito mkubwa au
kitambi
- Tatizo la
Kutokupata choo vizuri (Constipation)
- Tatizo la Tezi
dume
- Matatizo ya
moyo
- Kisukari (Diabetes)
- Stress,
Pressure, Chorestrol
- Hormony
imbalanced
- Kukaa kwa muda
mrefu
- Kutumia sana madawa yenye kemikali (Hospital).
Hapa unatakiwa kuwa makini na kukumbuka kwamba mili yetu haijaumbwa kwajili ya
madawa ya kikemikali. Mili yetu iliumbwa ili iweze kujitengenezea kinga kupitia
vyakula tunavyo kula vyenye lishe na virutubisho; siyo madawa ya kikemikali au
mitishamba. Tunaenda hospitalini kwasababu hakuna njia mbadala. Kama wewe
unahitaji kuwa na afya bora na ujiepushe na magonjwa mbali mbali, unashauriwa
kujenga utaratibu wa kupatia mwili wako lishe kamili na virutubisho muhimu.
- Dalili za upungufu wa nguvu za
kiume
Na tunapo ongelea suala la upungufu wa nguvu za kiume
tunamaanisha:
- kukosa hamu ya tendo la ndoa
- Kukosa pumzi
- Uwezo wa kushindwa kurudia tendo la ndoa
- Uume kusimama kwa ulegevu
- Kuwahi kufika kileleni
- Kuchelewa sana kufika kileleni: ukizidi kuchelewa
mwenzako anapata maumivu makali sana na kuanza kujuta japo hatakwambia kwa
sababu ni aibu kwake; na wewe pia hutofurahiya tendo la ndoa. Utaathirika kisaikolojia
kwa njia moja au nyingine
- Kuchoka sana baada ya tendo au kujisikia kichefuchefu, wakati
mwingine wengi hua wanajihiisi kutapika.
- Madhara ya Upungufu wa nguvu za
kiume
Kabla
hatujaenda kutiririka baadhi ya madhara yanayotokana na upungufu wa nguvu za
kiume, kuna kitu muhimu sana kwa wanandoa au wapenzi wanastahili kukijua.
Mwanamke ni kiumbe cha ajabu sana na aliumbwa na uwezo wakuweza kukojoa zaidi
ya mara 5, endapo wewe utaweka sawa afya yako na kujuwa ni vitu gani unastahili
kufahamu. Ili mwanamke akojoe kwa mshindo wa kwanza ni lazima uume wako uweze
kusimama angalau dakika 5 – 10 ukiwa unachezesha uume wako kwenye mashavu ya uke.
Wanawake wanapenda sana kuchezewa kwenye mashavu ya uke kwa kutumia uume, siyo
vinginevyo. Wanaume wengi wanashindwa kuwaridhisha wenzao kwasababu ya upungufu
wa nguvu zao za kiume unawapelekea kutumia zingine nondo mbali mbali ili
angalau waweze kuwaridhisha wenzao. Ukweli thabiti ni huu: endapo unakuwa na
afya nzuri ya mfumo wa uzazi, utaweza kusimamisha uume wako na kumridhisha
kiurahisi bila kutumia nguvu nyingi kwa kila mshindo. Hivyo basi usihangaike
kwenda kwa waganga (kalumanzira), mashekhe, makanisani kuombewa, kwasababu
suala zima ni kwamba unajali vipi afya yako?
Mfumo wako wa uzazi
ukiwa haufanyi kazi vizuri, utapata madhara yafuatayo:
- Dharau
- Kushindwa
kumridhisha mwanamke. Hili tatizo linampelekea kutoka nje ya ndoa na baadae
kuachika
- Kushindwa
kupata mtoto
- Kushindwa
kupata ladha kamili la tendo la ndoa
- Kuchoka haraka
wakati wa tendo la ndoa
- Uume kusimama
kwa ulegevu
- Fujo kila
kukicha. Shida hamzitatuwi kama watu wazima, na maranyingi hamuelewani hata
kidogo. Wengine wanaenda kwa waganga, makanisani na kwa mashekhe ili wapate
suluhisho la ndoa zao.
- Kutoka nje ya
ndoa (jinsia zote). Vitu unavyoenda kutafuta havieleweki, havina msingi; bali
unakaribisha matatizo juu ya mengine.
- Ndoa kusambaratika,
na kurandaranda kila sehemu. Unajishushia heshima mwenyewe bila kujitambuwa.
- Uume kusinyaa
na kupoteza ubora na ukakamavu
- Suluhisho thabiti na lakudumu
Mili yetu ni
sawa na kiwanda. Kiwandani kuna vitu vingi sana: kuna mashine, wafanyakazi,
umeme, maji, ... … n.k; kinapokosekana kimoja kati ya hivyo kiwanda hakiwezi
kufanya kazi vizuri. Ndivyo vivyo kwenye mili yetu tukija kwenye upande wa nguvu
za kiume. Nguvu za kiume ni kama kiwanda.
Kwa watu wenye changamoto
hii ya upungufu wa nguvu za kiume,
kampuni tumewaandalia program ya lishe
kamili na virutubisho muhimu. Bidhaa
hizi ni vyakula, siyo dawa wala mitishamba. Zimetengenezwa kutoka kwenye vyakula
ambavyo tungefaa kula kila siku, na vina lishe kamili na virutubisho muhimu
katika mili yetu inavyo hitaji ili iweze kutengeneza yenyewe afya bora na
nadhifu.
Hizo bidhaa zina mchanganyiko wa vitu vifuatavyo: Proteins, Vitamins, Minerals, Essential Fat Acid and Trace minerals.
Hizo bidhaa zina mchanganyiko wa vitu vifuatavyo: Proteins, Vitamins, Minerals, Essential Fat Acid and Trace minerals.
No comments:
Post a Comment