TAMBUA MFUMO WA KINGA YA MWILI ZAIDI
IMMUNE SYSYTEM(CD4)
a) Mfano wa Kinga ya Mwili
Kama nchi ilivyo na majeshi ya ulinzi na usalama, kwaajili
ya kulinda na kusimamia usalama wa Raia na mali zake vivyo hivyo mwili una
mfumo wake wa kujilinda. Kinga ya mwili (CD4) ni sawa na askari jeshi
wanaolinda nchi yao.
Wanajeshi wanahakikisha ulinzi, amani na usalama vinapatikana
nchi yote ili kila mwananchi apate nguvu ya kufanya kazi na nchi ipate
maendeleo.
Ni jukumu la serekali kuhakikisha wanajeshi hao wanapata nguvu kila
siku na vifaa vya vita, ili waweze kupambana na adui kwa njia yeyote.
b) Ufafanuzi wa Kinga ya Mwili
Ulinzi wa kwanza upo kwenye ngozi na wa pili katika seli
nyeupe. Ngozi ni organi ya kwanza kwa ukubwa katika mwili wa binadamu huzuia
vimelea vya magonjwa visiingie ndani ya mwili lakini vikiingia mwilini, kinga
ya mwili hupambana na vimelea hivyo.
Kazi ya kinga ya mwili ni kuhakikisha kila kiungo kiko
salama na kinafanya kazi ipasavyo ili binadamu aweze kuishi maisha marefu yenye
afya njema. Mwili hutegemeana hivyo ni rahisi kuwa na ugonjwa zaidi ya mmoja na
hii hutokana na kinga ya mwili kudhoofika. Ni jukumu letu sote kuhakikisha kinga
yetu ya mwili inauwezo wa kulinda viungo vyetu.
Kinga ya mwili inaweza kuongezeka au kupungua (kudhoofika).
Huongezeka kupitia vyakula pia hupungua kupitia mashambulizi dhidi ya maradhi. Maradhi
hayo yanatokana na kula vyakula ambavyo siyo sahihi kutokana na jinsi tulivyoumbwa.
Tuliumbwa na makundi tofauti ya damu, vivyo hivyo tunatakiwa kula vyakula
vinavyoendana na makundi yetu ya damu. Chanzo cha magonjwa yote unayoyajua
ambayo siyo ambukizi ni kutokana na vyakula vyetu vya kila siku na mfumo wa
maisha tunaoishi.
Vyakula tunavyokula viko aina 3. Kuna vyakula tukivipata
vinaongeza kinga ya mwili, vingine vinabaki kuwa kama vyakula tu hatunufaiki
chochote, vingine vinakuwa sumu mwilini. Vyakula hivyo husababisha kinga ya
mwili kudhoofika, kuharibu mfumo mzima wa mmeng’enyo wa chakula na mzunguko wa
damu.
- VITU VINAVYOSABABISHA KINGA YA MWILI KUDHOOFU
- Ulaji mbaya: Hii ni kwasababu hatupati virutubisho vinavyopatikana kutoka kwenye vyakula. Tunavikosa kwasababu ya ukosefu wa pesa au maarifa…n.k.
- Matumizi ya pombe yaliyokithiri: Pombe aina yeyote siyo kitu cha kuleta afya, kama unauwezo wa kuiacha achana nayo; kama huwezi kuacha punguza utumiaji wa pombe, ujiwekee nidhamu mwenyewe na utii.
- Kukosa usingizi: Kila binadamu anapaswa kulala masaa kadhaa
kulingana na umri wake ili kinga ya mwili izidi kufanya kazi vizuri. Kuanzia
miaka 26 – 64, wanastahili kulala masaa yasiopungua 7 – 9. Watu wazima
kuanzia umri wa miaka 65 kuendelea wanapaswa kulala masaa yasiopungua 7 –
8.
- Kukaa kwa muda mrefu (sitting too long is the new smoking,
kills than HIV)
- Ukosefu wa mazoezi: mazoezi ni kitu muhimu sana ambacho binadamu
yeyote anapaswa kukifanya. Kwakufanya mazoezi kunasaidia
kuimarisha kinga ya mwili.
- Uvutaji sigara
- Upungufu wa chembechembe za damu nyeupe
- Msongo wa mawazo, Hasira, Kinyongo, Saratani,
HIV
- Mfadhaiko wa akili: stress za
mara kwa mara na baadae husababisha madhara kama Kisukari, matatizo ya
moyo, kupooza, shinikizo la damu, pumu…n.k
- Dawa za hospitali: Hii ni kutokana na kemikali zilizoko ndani ya hizo
dawa, baada ya muda zinaathiri kinga ya mwili na utendaji kazi wa kinga.
- Matumizi ya njia za Kisasa za uzazi wa mpango
- Umri mkubwa: Kadri umri unavyoongezeka na kinga ya mwili
inapungua. Kama una umri mkubwa ni vema ukaweka utaratibu au program ya
virutubisho kwajili ya kuongeza, kuboresha na kuimarisha kinga ya mwili,
ili uishi maisha yenye furaha na afya njema inakupasa ujali afya yako
mapema.
II.
MADHARA YATOKANAYO NA
KUDHOOFU KWA KINGA YA MWILI
Kinga ya mwili inaposhuka mwili huwa katika
hatari kubwa sana ya kukabiliana na madhara mbalimbali ikiwemo:
·
Magonjwa nyemelezi: mafua, homa, kifua, malaria…n.k.
·
Urahisi wa Mwili kupata magonjwa yasiyo ambukizi: Mvurugiko
wa Homoni, vimbe tumboni, vidonda vya tumbo, mvurugiko wa hedhi, Utasa -
Ugumba, Uzito uliyokithiri, Kitambi na Heshima
ya ndoa kupungua kwa wakina baba, Tezi dume, Kisukari, Figo na Ini kushindwa
kufanya kazi, matatizo ya mapafu, Maumivu ya viungo, Ugonjwa wa macho, matatizo ya moyo, kupooza, Pressure, Matatizo
ya ngozi na Menaupose, Kuzeeka kabla ya wakati, maumivu ya kichwa, kufunga kwa
choo, Bawasiri – Hemorrhoids, Vidonda ndugu (Vidonda visivyopona haraka),
malaria sugu, kifua kikuu, mkanda wa jeshi…n.k
·
Urahisi wa Mwili kupata maambukizi ya virusi na bacteria sugu:
HIV, Homa ya Ini , Saratani, Alegi, Pumu,…n.k
·
Kujaa kwa sumu mwilini: Sumu zikizidi hupelekea mlipuko wa magonjwa mwilini, na chanzo cha sumu
kuzidi mwilini ni kinga ya mwili kudhoofu.
·
Kufa kwa seli nyeupe katika mwili
·
Mwili kuwa mdhaifu: Kuumwa mara kwa mara.
- SULUHISHO KWA WANAOTAFUTA KUBORESHA NA KUIMARISHA
KINGA YA MWILI
Kinga
ya mwili huwa chini sana kwa watoto wadogo na mama wajawazito
Kinga ya mwili sio kitu cha kuimarisha kwa siku moja, ni
swala endelevu, mwili unapambana kila siku ili uhakikishe una afya na usalama. Kinga
yako ya mwili ikiwa bora na imara siyo rahisi mwili wako kushambuliwa na virusi,
bacteria, fangasi…n.k. Jali kinga ya mwili ndiyo afya na usalama wako. Kinga ya
mwili wako ikiwa chini unajiweka kwenye hatari ya kushambuliwa na magonjwa kwa
urahisi. Kuumwa mara kwa mara ni dalili ya udhaifu wa kinga ya mwili, hii
inamaanisha majeshi ya kulinda mwili yamezidiwa na vimelea vya magonjwa, hapo ndipo
dalili za ugonjwa husika huanza kujitokeza.
Ongeza, Boresha,
Imarisha Kinga yako ya Mwili
Kuna program ya virutubisho vilivyotengenezwa kutoka
kwenye vyakula mbalimbali kwajili ya kuongeza, kuboresha na kuimarisha kinga ya
mwili. Lengo letu ni kuhakikisha jamii ina afya njema ili kila binadamu aishi
maisha marefu yenye furaha tele.
Program hii itakusaidia
- Kuzalisha na kuongeza CD4 kwa wingi mwilini
- Kuboresha na kuimarisha kinga ya mwili
- Kuongeza misuli, kuupatia mwili nguvu tosha na kukusaidia
afya yako isizidi kudhoofika (kupungua ghafla uzito)
- Kuweka sawa mfumo mzima wa mmeng’enyo wa chakula na
mzunguko wa damu
- Kuongeza damu mwilini
- kusaidia ubongo
kufanya kazi kwa haraka sana akili kutochoka mapema
- Kuboresha na kuimarisha mfumo wa macho
- Moyo kufanya kazi vizuri na mzunguko wa damu kuwa sawa
- Kuzalisha uteute kati ya viungo: kukuepusha kupata
maumivu au matatizo ya viungo
- Kuweka sawa homoni (akina mama): kuwa na mzunguko sawia wa hedhi, mayai
kupevuka, kuondoa ukavu ukeni na kutengeneza joto ….n.k.
- Kurudisha, kuboresha na kuimarisha heshima ya ndoa
- Kuweka mwili sawa ili ujiepushe na matatizo ya kiafya
kama: saratani, kisukari, pressure, ini, ngozi kuharibika, UTI, kupooza, tezi
dume, matatizo ya figo….n.k.
Kwa yeyote
anayehitaji hivi virutubisho vya kuboresha
na kiumarisha afya yake ya kinga ya mwili awasiliane na kampuni kwa namba zifuatazo:
Tigo: +255
657 461 124 WhatsApp
TTCL: +255 738
651 373
E-mail: janemlay762@gmail.com
No comments:
Post a Comment