Duniani
takwimu zinaonyesha kila sekunde 10 mtu mmoja mwenye kisukari hufariki
na zaidi ya watu 40,000 wenye kisukari Tanzania hukatwa miguu pia zaidi
ya watu milioni 422 wana kisukari duniani hivyo
kupelekea ugonjwa huu kushika nafasi ya 5 kama kisababishi cha vifo duniani.
Ugonjwa wa kisukari ni moja ya ugonjwa unaowahangaisha watu wengi duniani kwani
mtu anaweza akaishi na ugonjwa huu kwa muda mrefu takribani miaka 5 na
kuendelea bila hata ya kujijua kuwa anatatizo la kisukari, kwa kiwango kikubwa hutokana na mfumo wa maisha wa mtu atakavyoamua kuishi, hivyo huu ugonjwa unaweza ukampata
kila mtu mtoto kwa mtu mzima
ugonjwa wa kisukari ni nini? ni ugonjwa unaotokana pale
insulin inaposhidwa kubalansi sukari, ambayo
homoni ya insulin hutengenezwa kwenye kongosho(pancreas) na kongosho
inaposhindwa kufanya kazi vizuri hupelekea homoni ya insulin kupungua au
kuongezeka na ndo hapo hutokea utofauti wa kisukari, pia ugonjwa huu hauambukizwi kutoka kwa mtu kwenda kwa
mtu. Ikumbukwe kuwa kisukari huwapata mpaka watu wasio wanene(wembamba) na mama
wajawazito
VISABABISHI VINAVYOPELEKEA MTU APATE
UGONJWA WA KISUKARI.
Vyanzo
vinavyopelekea mtu aweze kuwa mwathirika wa ugonjwa wa kisukali endapo
asipovizingatia kwa umakini vyazo vikuu vipo vya
aina mbili ambazo ni mfumo wa maisha na kurithi.
Mfumo wa maisha.
Hii imekuwa sababu kubwa ya kuathiriwa na ugonjwa wa kisukari kwa haraka zaidi
kuliko chochote na hii inatokana na ulaji (vyakula
na vinywaji), kutokana na uandaaji wa vyakula kutoka vinalimwa hadi kuja
kuingia kinywani mwa binadamu imekuwa ni changamoto
kwa sababu ya kemikali zinazotumika kutunzia vyakula lakini pia na mtu
yeye mwenyewe kama anapenda kula vitu vitamu vitamu
ni kirahisi zaidi mtu huyo kuathirika kwa ugonjwa huu, uchunguzi uliofanyika
huko marekani unasema kuwa mtu anaependa kula vyakula vyenye sukari nyingi au
vitamu kuwa anakiwango kikubwa cha bacteria wabaya mwilini na hao bacteria
hupendelea kula vitu vitamu kwahiyo inakuwa ni kirahisi sana kuchochea homone
na kushidwa kwa kongosho kubalansi kiwango cha sukari mwilini.
·
Unene
(obesity).
Uzito uliopitiza kiwago ni moja ya sababu zinazopelekea mtu kuugua ugonjwa wa
kisukari kwa sababu mwili wa mtu mnene unakuwa na sukari nyingi au kuwa na
glucose nyingi
·
Kazi
za ofisini. Mtu anaefanya kazi za kukaa
kwa muda mrefu bila kufanya mazoezi anakuwa
na hatari ya kuwa na kiwango kingi cha sukari
kwa sababu anakuwa hafanyi
zoezi lolote la kuweza kuunguza mafuta na sukari
mwilini mwake hii ni tofauti na miaka
ya 1980’s miaka hiyo watu wengi shughuri zao zilikuwa siyo za ofisini knazi zao
nyingi zilikuwa za kuushughurisha mwili na hivyo ilikuwa ni kirahisi zaidi kuunguza
mafuta bila hata ya kufanya mazoezi hii ni tofauti na sasa.
Kurithi. Haijafahamika kuwa nini
sababu inayopelekea kurithi huu lakini kama
kwenye ukoo kulikuwa na mgonjwa wa kisukari hivyo ugonjwa usishangae mtu kuugua kisukari bila hata ya hizo visababishi
vya juu.
Baada
ya kujifunza juu ya visababishi vinavyopelekea kuadhirika kwa ugonjwa wa
kisukari hivyo ni muhimu kufahamu kuwa mtu anapokuwa na kisukari anakuwa na
dalili zipi, zifuatazo ni dalili za mtu alie na ugonjwa wa kisukari.
DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI.
Unapoona
hizi dalili siyo kwamba ni moja kwa moja tayari una ugonjwa wa kisukari ni vema
zaidi ukafika hospital ukachukua vipimo pale unapoona baadhi ya dalili ili
kupata uhakika wa afya ya mwili wako japo dalili za mtu mwenye kisukali ni kama
zifuatazo;
i.
Kukojoa
mara kwa mara. Mtu mwenye kisukari hukojoa mara kwa mara ni
pamoja na insulin kushidwa kubalansi sukari mwilini na kufanya sukari iwepo
kwenye damu nyingi ndo maana huchochea kukojoa mara kwa mara.
ii.
Kiu
isiyoisha. hii ni kwa sababu mwili wako unapoteza maji
mengi kwa njia ya mkojo na hivyo husababisha mwili uhitaji mengi isivyo
kawaida.
iii.
Njaa
kali. Ni kwasababu insulin yako haiwezi kubeba glucose mwilini
mwako au hauna insulin ya kutosha ambayo husaidia kubeba lishe zilizomo kwa
vyakula na kukufanya upate vitamin vya kutosha.
iv.
Kuongezeka
uzito. Hii inatokana na dalili ya kusikia njaa kali na hivyo
humfanya mtu kula vyakula vingi na kwenda kuchochea homoni mwilini kufanya kazi
pasivyo kawaida na ndio hapo unamkuta mgonjwa wa kisukali ananenepa tu.
v.
Kupungua
uzito. Hupungua uzito hasa pale mgonjwa wa kisukari anapokosa
hamu ya kula na hivyo mwili wake hukosa lishe au virutubisha na kupoteza madini
mengi mwilini mwake na seli zake hukosa chanzo cha chakula.
vi.
Kukojoa
mkojo na wadudu kama sisimizi na nzi kuuzingira.
Kama nilivyosema hapo mwanzo kuwa bacteria wabaya wanapenda vitu vitamu hivyo
na wadudu nao hivyo hivyo mgonjwa wa kisukari huwa anatoa mkojo wenye sukari
nyingi na ndio maana huo mkojo unakuwa rafiki na wadudu.
vii.
Kuchoka. Ili
mtu awe na nguvu za kutosha ni lazima sukari ibadirishwe kutoka kwenye vyakula
kwenda kwenye misuri, hivyo basi mgonjwa wa kisukari, sukari yake hubaki kwenye
damu na siyo kwenye misuli na ndo maana huchoka bila hata kufanya kazi yoyote
anaweza kuamka asubuhi kutoka kitandani na anakuwa kachoka.
MADHARA KWA MGONJWA WA KISUKARI
NA BAADHI YA VIUNGO VINAVYOATHIRIKA
ZAIDI.
Kupenda vitu vitamu
hususani jamii ya sukari huwa ni tamu sana kwenye ulimi lakini changamoto
inakuja kule inakoelekea kwa ajili ya kutunzwa na kutumika, hapo ndo husababisha
changamoto mbalimbali mwilini hasa kwenye baadhi ya viungo vya mwili. Yafuatayo
ni madhara ya sukari inapozidi mwili na kiwango sahihi cha sukari inayotakiwa
mwili pale unapokuwa umekula chakula:
·
vidonda
vya miguuni (diabetes foots). Ugonjwa wa kisukari
huathiri miguuni hasa pale unapopata ganzi inapelekea kushidwa kuhisi maumivu
hivyo hata ukipata jeraha au mchubuko unakuwa huhisi maumivu ya aina yoyote
unakuwa hauna tofauti na aliechomwa sindano ya ganzi kwa ajili ya kufanyiwa
upasuaji,
vidonda vya mtu mwenye kisukari ni vigumu
sana kupona kwa sababu damu inakuwa haifiki ya kutoshakwenye kidonda na
asilimia kubwa bacteria wabaya
huanza kukishambulia kwa kasi kwa sababu
kinakuwa ni kitamu
kwa bacteria na kinaonekana kuwa na malengelenge ya
mafuta na hao bacteria hushambulia kwa kasi hivyo kusababisha kuongezeka kwa
kidonda na mwishoe kukatwa endapo hatawahi huduma mapema ya kujikinga.
·
Kutokuona
vizuri au mtoto wa jicho. Mishipa ya
kwenye macho huwa ni midogo midogo sana na
iko laini sana ukiliganisha na mishipa ya sehemu zingine za mwili hivyo inapoingiliwa
na sukari damu hushidwa
kupita ya kutosha sehemu za macho na
kumfanya mtu awe anaona
ukungu ukungu au kutokuona kabisa.
·
Madhara
ya figo. Figo inapokuwa imezidiwa na kiwago kingi cha sukari
hulazimika kupunguza maji ya ziada na utengenezaji wa calcium kwa ajili ya
kulinda mifupa hivyo sukari nyingi kukimbilia kwenye damu na baadaye huwa sumu
mwilini.
·
Kiharusi
(stroke). Kwa kuwa madhara ya sukari
mojawapo ni kudhoofisha mishipa kwenye mwili
hivyo mtu wa kisukari ana hatari kubwa ya
kupata stroke kwa sababu baadhi ya mishipa kwenye ubongo
huathiriwa na kukosa uwezo wa kupitisha damu ya kutosha na mwishoe
kupasuka na kusababisha kiharusi.
·
Maradhi
ya moyo. Vyanzo vya mishipa huanzia kwenye moyo na kusambaa
pande zingine za mwili, moyo huathiriwa na ugonjwa wa kisukari kwa sababu
sukari hudhoofisha mishipa na kumfanya mtu kuwa dhaifu hivyo kama damu haipiti ya
kutosha kwenye mishipa inakuwa ni kirahisi
kupata magonjwa ya moyo kama vile
moyo kupanuka, moyo kuwa na tundo pamoja na kuongezeka kwa mapigo ya moyo.
·
Kwa
wanaume kuishiwa nguvu za kiume. Hili ni tatizo kubwa kwa wanaume kwa sababu mfumo wa uzazi wa mwanaume umeundwa kwa mishipa na misuli,
kama patakuwa hakupati ujazo mzuri wa damu
inakuwa ni rahisi sana kushidwa kushiriki tendo ndoa na wengi wao
wanapopatwa na hali kama hii huigiwa na presha au msongo wa mawazo na kuibuia
matatizo mengine tena.
Hayo ni baadhi ya madhara anayopatwa mtu
mwenye kisukari japo anaweza kupatwa na changamoto zingine nyingi kwenye mwili
wake na kumpelekea kupata shida awe mtoto au mtu mzima, lakini jinsi kwa kukosa
uelewa na umakini zaidi kundi la watu wengi huishia kukatwa baadhi ya viungo na
mwishoe kifo.
Lakini
ujue kuwa kama ugonjwa siyo wa kuambukizwa itashidikanaje kuuzuia ili
usiendelee kukudhuru usipatwe na madhara makubwa ya kiafya , moja ya suluhisho
ambalo limesaidia watu kadha wa kadha linalotokana na mimea, mitishamba mboga
mboga ambazo husaidia kurudisha ubora wa mwili kama mwanzo na badae unakuwa na
afya njema jifunze kuhusu hii program inavyofanya kazi.
PROGRAM YA
KURUDISHA KIWANGO SAWA CHA SUKARI MWILINI NA KUIMARISHA AFYA YA MWILI.
Changamoto ya kisukari inaweza kabisa kuepukika endapo tu ukiwa na nia ya kujiimarisha bila kukata tamaa ya kuitumia hii program, kama wengine imeweza kuwaimarisha na wakawa vizuri kwanini isiwe kwako pia. Kuna ubora gani kwa hii program.
Inaimarisha uwezo wa tendo la ndoa kwa pande zote kwa wanaume na kwa wanawake, pia inaimarisha tezi dume kwa wanaume.
Inaondowa hatari ya kupata kiharusi kwani hewa(oxygen) na damu vitakuwa inapita vyema kwenye ubongo
Changamoto ya kisukari inaweza kabisa kuepukika endapo tu ukiwa na nia ya kujiimarisha bila kukata tamaa ya kuitumia hii program, kama wengine imeweza kuwaimarisha na wakawa vizuri kwanini isiwe kwako pia. Kuna ubora gani kwa hii program.
- Inasaidia kuogeza uwezo wa kinga mwilini na kukupa nguvu hivyo kuondoa uchovu wa bila sababu
- Inasaidia kuondoa sumu mwilini na kubalansi kiwango cha sukari mwilini kama imepanda zaidi huishusha na kama imeshuka zaidi huipandisha.
- Inasaidia kuondoa bacteria wabaya na kuwapandisha uwezo wa utendaji kazi wa bacteria wazuri.
- Inasaidia kuhakikisha mzunguko wa damu uko sawa na ujazo ulio sawa kwenye mishipa
- Endapo kama tayari mwathirika anavidonda sehemu yoyote ya mwili hufanya kazi kukausha vidonda na kuondoa bila kuonyesha makovu.
- Inaisaidia kongosho utoaji wa insulin kufanya kazi vizuri
- Inamchanganyiko wa mbogamboga ambazo hufanya kazi ya kukupa damu na nyuzi nyuzi ili kusaidia upataji wa choo usiwe wa shida.
- Inasaidia kuondoa matatizo ya macho na kuondoa mtoto wa jicho bila kukwanguliwa kwa kutumia vifaa
Hakuna changamoto ya kudumu chini ya jua vyote vina suluhisho, amuwa kuwa wa tofauti kwa kutafuta suluhisho kwa matendo. Wasiliana nasi ili kujua zaidi kuhusu kisukari na suluhisho lake kwani hatukuumbwa ili tuteseke na kisukari bali tuishi wenye afya tele.
+255738 651373 / +255657 461124 & janemlay762@gmail.com
during morning its raising up to 13,but afternoon comes to 9, and i tried to control only by diet....Morning cup of milk,two eggs or sometimes bread baking almond flour/pumpkin flour....lunch meat/fish with vegetables till full and dinner a glass of milk with avocardo..so is it okey and how can i drop it during morning..
ReplyDeleteThanks for well information about diabetes to prevent
ReplyDeleteKiwango cha sukari inatakiwa ngapi.
ReplyDeleteKiwango cha sukari inatakiwa ngapi.
ReplyDeleteKiwango cha sukari inatakiwa ngapi.
ReplyDelete